29 Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa sitakunywa kamwe divai yoyote ya mzabibu mpaka siku ile nitakapokunywa ikiwa mpya, pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”+
2 Nikaona pia lile jiji takatifu,+ Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni+ kwa Mungu na limetayarishwa kama bibi-arusi+ aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+