2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+
2 Katika maono ya Mungu alinileta katika nchi ya Israeli na hatua kwa hatua akaniweka juu ya mlima mrefu sana,+ ambao juu yake palikuwa na kitu kama muundo wa jiji kuelekea kusini.+
4Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima+ wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima, nao utainuliwa juu ya vilima;+ na vikundi vya watu vitamiminika huko.+