2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+
4Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima+ wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima, nao utainuliwa juu ya vilima;+ na vikundi vya watu vitamiminika huko.+