Esta 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme.+ Lakini Hamani akafanya haraka kwenda nyumbani kwake akiomboleza, na kichwa chake kikiwa kimefunikwa.+ Zaburi 132:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Adui zake nitawavika aibu;+Lakini taji+ lake litasitawi juu yake.”+ Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+
12 Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme.+ Lakini Hamani akafanya haraka kwenda nyumbani kwake akiomboleza, na kichwa chake kikiwa kimefunikwa.+