Esta 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Siku hizo Mordekai alipokuwa anaketi katika lango la mfalme, Bigthani na Tereshi, maofisa wawili wa makao ya mfalme, watunza-milango, waligadhibika nao wakazidi kutafuta kumdhuru+ Mfalme Ahasuero. Zaburi 131:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+
21 Siku hizo Mordekai alipokuwa anaketi katika lango la mfalme, Bigthani na Tereshi, maofisa wawili wa makao ya mfalme, watunza-milango, waligadhibika nao wakazidi kutafuta kumdhuru+ Mfalme Ahasuero.
131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+