Zaburi 131:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 131 Ee Yehova, moyo wangu hauna kiburi,Wala macho yangu hayana majivuno;+Wala sijitafutii mambo makubwa sana,+Wala mambo yanayopita uwezo wangu. Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 131:1 Mnara wa Mlinzi (Funzo),7/2021, kur. 21-22
131 Ee Yehova, moyo wangu hauna kiburi,Wala macho yangu hayana majivuno;+Wala sijitafutii mambo makubwa sana,+Wala mambo yanayopita uwezo wangu.