20 ili moyo wake usijiinue juu ya ndugu zake+ naye asigeuke kando kutoka kwenye amri kwenda upande wa kuume au upande wa kushoto,+ ili arefushe siku zake juu ya ufalme wake,+ yeye na wanawe katikati ya Israeli.
20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+