1 Samweli 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+ Zaburi 138:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+ Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+
23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+
6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+