Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+

  • Zaburi 138:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+

      Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+

  • Methali 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki