Ayubu 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+ Zaburi 139:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ujuzi wa namna hiyo ni wa ajabu mno kwangu.+Ni wa juu sana hivi kwamba siwezi kuufikia.+
3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+