Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 42:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+

      Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewa

      Mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+

  • Zaburi 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+

      Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+

      Hakuna wa kulinganishwa nawe.+

      Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,

      Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+

  • Zaburi 131:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+

      Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+

      Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+

      Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+

  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki