Ayubu 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+ Zaburi 40:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+ Zaburi 131:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+ Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
3 ‘Ni nani huyu anayefunika shauri bila ujuzi?’+Kwa hiyo nilisema, lakini sikuwa ninaelewaMambo yaliyo ya ajabu mno kwangu, ambayo siyajui.+
5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+Hakuna wa kulinganishwa nawe.+Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+
131 Ee Yehova, moyo wangu haukuwa na majivuno,+Wala macho yangu hayakuinuka juu sana;+Wala sikutembea katika mambo makuu mno,+Wala katika mambo yaliyo ya ajabu mno kwangu.+
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!