Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 nazo zitakuwa uzima kwa nafsi yako+ na kitu chenye kuvutia shingoni pako.+ Methali 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Itakuvika shada lenye kuvutia kichwani pako;+ na kukuvika taji lenye kupendeza.”+
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+