Nehemia 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sanbalati na Geshemu wakanitumia neno mara moja, wakisema: “Njoo, tukutane+ pamoja kwa mapatano katika vijiji vya nchi tambarare ya bondeni ya Ono.”+ Lakini walikuwa wanapanga kuniumiza.+ Amosi 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi yeye aliye na ufahamu atakaa kimya wakati huo, kwa maana utakuwa wakati wenye taabu.+
2 Sanbalati na Geshemu wakanitumia neno mara moja, wakisema: “Njoo, tukutane+ pamoja kwa mapatano katika vijiji vya nchi tambarare ya bondeni ya Ono.”+ Lakini walikuwa wanapanga kuniumiza.+