Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+ Waefeso 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo mwache kuwa wenye kukosa akili, bali endeleeni kufahamu+ yale yaliyo mapenzi+ ya Yehova.
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+