Methali 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu mwerevu ambaye ameuona msiba amejificha;+ wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.+ Waroma 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.
12 Mtu mwerevu ambaye ameuona msiba amejificha;+ wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.+
18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.