Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote aliyeogopa neno la Yehova kati ya watumishi wa Farao aliwakimbiza watumishi wake na mifugo wake ndani ya nyumba,+

  • Zaburi 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+

      Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+

      Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

  • Isaya 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+

  • Waebrania 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.

  • Waebrania 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa imani Noa,+ baada ya kupewa onyo la kimungu la mambo ambayo yalikuwa bado hayajaonekana,+ alionyesha woga wa kimungu na kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu+ kuwa wenye hatia, naye akawa mrithi wa uadilifu+ unaolingana na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki