Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana katika hiyo uadilifu+ wa Mungu unafunuliwa kwa sababu ya imani+ na kuelekea imani, kama vile ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu—ataishi kwa njia ya imani.”+

  • Waroma 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo,+ kwa ajili ya wote walio na imani.+ Kwa maana hakuna tofauti.+

  • Wagalatia 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa upande wetu sisi kwa njia ya roho tunangojea kwa hamu uadilifu uliotumainiwa kutokana na imani.+

  • Wafilipi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na nipatikane katika muungano naye, nikiwa, si na uadilifu wangu mwenyewe, ambao hutokana na sheria,+ bali ule ambao ni kupitia imani+ katika Kristo, uadilifu unaotoka kwa Mungu kwa msingi wa imani,+

  • 2 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki