Methali 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha,+ lakini wasio na uzoefu wameendelea mbele nao lazima waumie.+ 2 Petro 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+
3 Mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha,+ lakini wasio na uzoefu wameendelea mbele nao lazima waumie.+
7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+