Isaya 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Atakula siagi na asali kufikia wakati atakapojua jinsi ya kukataa lililo baya na kuchagua lililo jema.+ Waroma 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+ Wafilipi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo, 1 Wathesalonike 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakikisheni mambo yote;+ shikeni sana yaliyo mazuri.+
15 Atakula siagi na asali kufikia wakati atakapojua jinsi ya kukataa lililo baya na kuchagua lililo jema.+
19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+
10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,