Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Luka 2:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na huyo mtoto mchanga akaendelea kukua na kupata nguvu,+ akijawa na hekima, na kuendelea kuwa na kibali+ cha Mungu. Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo+ wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu,+ shikamaneni na mema.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+
40 Na huyo mtoto mchanga akaendelea kukua na kupata nguvu,+ akijawa na hekima, na kuendelea kuwa na kibali+ cha Mungu.