Zaburi 103:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuwaelekea wale wanaolishika agano lake+Na kuwaelekea wale wanaoyakumbuka maagizo yake ili kuyafanya.+ Zaburi 119:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe mwenyewe umetoa maagizo yako kwa kuamuru+Yashikwe kwa uangalifu.+ Zaburi 119:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yote hayo yamekuwa yangu,Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+
18 Kuwaelekea wale wanaolishika agano lake+Na kuwaelekea wale wanaoyakumbuka maagizo yake ili kuyafanya.+