Methali 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+ na kumjua aliye Mtakatifu Zaidi ni uelewaji.+ Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+ Mhubiri 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni nani aliye kama mwenye hekima?+ Na ni nani anayeweza kujua tafsiri ya jambo?+ Hekima ya mwanadamu huufanya uso wake ung’ae, na hata ukali wa uso wake ubadilike uwe afadhali.+ Wakolosai 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
8 Ni nani aliye kama mwenye hekima?+ Na ni nani anayeweza kujua tafsiri ya jambo?+ Hekima ya mwanadamu huufanya uso wake ung’ae, na hata ukali wa uso wake ubadilike uwe afadhali.+