Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+ na kumjua aliye Mtakatifu Zaidi ni uelewaji.+

  • Mhubiri 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+

  • Mhubiri 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ni nani aliye kama mwenye hekima?+ Na ni nani anayeweza kujua tafsiri ya jambo?+ Hekima ya mwanadamu huufanya uso wake ung’ae, na hata ukali wa uso wake ubadilike uwe afadhali.+

  • Wakolosai 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki