Mwanzo 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.” 2 Petro 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba hakuna unabii wa Andiko unaotokana na fasiri yoyote ya kibinafsi.+
8 Wakamjibu: “Tumeota ndoto, wala hatuna mtafsiri.” Basi Yosefu akawaambia: “Je, tafsiri si za Mungu?+ Tafadhali, nisimulieni.”
20 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba hakuna unabii wa Andiko unaotokana na fasiri yoyote ya kibinafsi.+