Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Yosefu akamjibu Farao, akisema: “Mimi sipaswi kufikiriwa! Mungu atamtangazia Farao hali njema.”+

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Danieli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:

  • Danieli 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 kama vile ulivyoona kwamba kutoka katika mlima jiwe lilikatwa bila kutumia mikono,+ na kwamba liliponda kile chuma, ile shaba, ule udongo uliofinyangwa, ile fedha na ile dhahabu.+ Mungu Mkuu+ mwenyewe amemjulisha mfalme mambo yatakayotokea baada ya haya.+ Na ndoto hiyo ni yenye kutegemeka, na tafsiri yake ni yenye kuaminika.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki