Mwanzo 41:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hilo ndilo jambo ambalo nimemwambia Farao: Anayofanya Mungu wa kweli amemwezesha Farao kuona.+ Danieli 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:
28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya: