-
Danieli 2:45Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 kama tu ulivyoona kwamba jiwe ambalo halikukatwa kwa mikono lilitoka kwenye mlima, na kwamba lilipondaponda kile chuma, ile shaba, ule udongo wa mfinyanzi, ile fedha, na ile dhahabu.+ Mungu Mtukufu amemjulisha mfalme mambo yatakayotukia wakati ujao.+ Ndoto hiyo ni ya kweli, na maana yake inategemeka.”
-