Zaburi 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+ Zaburi 111:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Wapumbavu wamedharau hekima na nidhamu.+
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin]Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+ ת [Taw] Sifa yake inasimama milele.+