Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+ Methali 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Wenye hekima watapata heshima,+ lakini wajinga wanainua aibu.+ Methali 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Midomo ya watu wenye hekima hutawanya ujuzi sikuzote,+ lakini moyo wa wajinga hauko hivyo.+ Methali 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sikio linalosikiliza karipio+ la uzima hukaa kati ya watu wenye hekima.+
5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+