Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+

      Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+

  • Mathayo 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+

  • Waroma 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu.

  • 2 Timotheo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki