Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+ Mathayo 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+ Waroma 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu. 2 Timotheo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+
27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+
10 Kwa maana kwa moyo+ mtu huonyesha imani kwa ajili ya uadilifu, lakini kwa kinywa mtu hufanya tangazo la hadharani+ kwa ajili ya wokovu.
2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+