Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+

  • Ayubu 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Elihu alikuwa amemngojea Ayubu kwa maneno, kwa sababu walikuwa wazee kwa siku kuliko yeye.+

  • Mhubiri 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+

  • Luka 2:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Lakini wale wote waliokuwa wakimsikiliza walikuwa wakishangazwa daima na uelewaji wake na majibu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki