1 Samweli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+ Ayubu 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Elihu alikuwa amemngojea Ayubu kwa maneno, kwa sababu walikuwa wazee kwa siku kuliko yeye.+ Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+ Luka 2:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Lakini wale wote waliokuwa wakimsikiliza walikuwa wakishangazwa daima na uelewaji wake na majibu yake.+
19 Na Samweli akaendelea kukua, na Yehova akawa pamoja naye,+ wala hakuacha neno lake lolote lianguke chini.+
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
47 Lakini wale wote waliokuwa wakimsikiliza walikuwa wakishangazwa daima na uelewaji wake na majibu yake.+