Zaburi 119:99 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Nimepata kuwa na ufahamu kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu vikumbusho vyako ndivyo ninavyohangaikia.+ Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi wakati Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa+ na njia yake ya kufundisha; Marko 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakastaajabia njia yake ya kufundisha,+ kwa maana huko alikuwa akiwafundisha kama mwenye mamlaka, na si kama waandishi.+ Yohana 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kustaajabu, wakisema: “Mtu huyu amepataje ujuzi wa maandishi,+ na yeye hajajifunza shuleni?”+
99 Nimepata kuwa na ufahamu kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu vikumbusho vyako ndivyo ninavyohangaikia.+
22 Nao wakastaajabia njia yake ya kufundisha,+ kwa maana huko alikuwa akiwafundisha kama mwenye mamlaka, na si kama waandishi.+
15 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kustaajabu, wakisema: “Mtu huyu amepataje ujuzi wa maandishi,+ na yeye hajajifunza shuleni?”+