Marko 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakastaajabia njia yake ya kufundisha,+ kwa maana huko alikuwa akiwafundisha kama mwenye mamlaka, na si kama waandishi.+ Luka 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nao wakastaajabishwa na njia yake ya kufundisha,+ kwa sababu maneno yake yalikuwa yenye mamlaka.+
22 Nao wakastaajabia njia yake ya kufundisha,+ kwa maana huko alikuwa akiwafundisha kama mwenye mamlaka, na si kama waandishi.+