Mathayo 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi wakati Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati ukashangazwa+ na njia yake ya kufundisha; Yohana 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wale maofisa wakajibu: “Mtu mwingine hajapata kamwe kusema kama huyu.”+