Luka 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.
16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.