6 Lakini yeye akamwambia: “Tafadhali, tazama! Kuna mtu wa Mungu+ katika jiji hili, na mtu huyo anaheshimiwa. Kila jambo analosema hutimia bila kukosa.+ Na twende huko sasa. Labda anaweza kutuambia njia yetu tunayopaswa kuiendea.”
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+