Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Sasa hii ndiyo baraka+ ambayo Musa mtu wa Mungu wa kweli+ aliwabariki nayo wana wa Israeli kabla ya kifo chake.

  • 1 Samweli 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+

  • 1 Wafalme 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+

  • 2 Wafalme 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Kimeanguka wapi?” Basi akamwonyesha mahali pale. Akakata kipande cha mti mara moja, akakitupa hapo, akafanya kile kichwa cha shoka kielee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki