27 Na mtu wa Mungu+ akamjia Eli na kumwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Je, kweli sikujifunua kwa nyumba ya babu yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa kwa nyumba ya Farao?+
13Na tazama, palikuwa na mtu+ wa Mungu aliyekuwa amekuja kutoka Yuda kwa neno+ la Yehova ili kwenda Betheli, Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu+ ili kufukiza moshi wa dhabihu.+
6 Ndipo yule mtu wa Mungu wa kweli akasema: “Kimeanguka wapi?” Basi akamwonyesha mahali pale. Akakata kipande cha mti mara moja, akakitupa hapo, akafanya kile kichwa cha shoka kielee.+