Mwanzo 49:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yote hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno ambayo baba yao aliwaambia alipokuwa akiwabariki. Alimbariki kila mmoja kupatana na baraka yake.+ Luka 24:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Lakini akawaongoza waende mpaka Bethania, naye akainua mikono yake na kuwabariki.+
28 Yote hayo ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hayo ndiyo maneno ambayo baba yao aliwaambia alipokuwa akiwabariki. Alimbariki kila mmoja kupatana na baraka yake.+