18 “ ‘Hiyo ndiyo ndoto ambayo mimi, Mfalme Nebukadneza, niliona; nawe, Ee Belteshaza, sema tafsiri yake, kwa maana watu wengine wote wenye hekima wa ufalme wangu wameshindwa kunijulisha tafsiri yake.+ Bali wewe una uwezo, kwa kuwa roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.’+