13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako. Na wasimame, sasa, na kukuokoa, wanaoabudu mbingu, watazamaji wa nyota,+ ambao kwenye miezi mipya wanajulisha habari za mambo yatakayokuja juu yako.
8 Basi wakaingia watu wote wenye hekima wa mfalme, lakini hawakuwa na uwezo wa kutosha kuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme tafsiri yake.+
15 Basi watu wenye hekima na wafanya-mazingaombwe wameletwa mbele yangu, ili wasome maandishi haya, waniambie tafsiri yake; lakini hawana uwezo wa kutosha kunionyesha tafsiri kamili ya neno hilo.+