Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikawa kwamba asubuhi, roho yake ikafadhaika.+ Basi akawaita makuhani wote wenye kufanya uchawi wa Misri+ na watu wake wote wenye hekima,+ naye Farao akawasimulia ndoto zake.+ Lakini hakukuwa na yeyote aliyeweza kumtafsiria Farao ndoto hizo.

  • Danieli 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Danieli akajibu mbele ya mfalme na kusema: “Siri ambayo mfalme anauliza, watu wenye hekima, wala wafanya-mazingaombwe, wala makuhani wenye kufanya uchawi wala wanajimu hawawezi kumwonyesha mfalme.+

  • Danieli 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ndipo makuhani wenye kufanya uchawi, wafanya-mazingaombwe, Wakaldayo+ na wanajimu+ walikuwa wanaingia; nami nikasema mbele yao ndoto ile ilikuwa nini, bali tafsiri yake hawakuniambia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki