Danieli 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wakati huo makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu+ wakaja mbele yangu. Nilipowasimulia ndoto hiyo, walishindwa kunieleza maana yake.+ Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:7 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2034
7 “Wakati huo makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu+ wakaja mbele yangu. Nilipowasimulia ndoto hiyo, walishindwa kunieleza maana yake.+