-
Danieli 4:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “‘Hiyo ndiyo ndoto ambayo mimi, Mfalme Nebukadneza, niliota; sasa, Ee Belteshaza, nieleze maana ya ndoto hiyo, kwa maana wanaume wengine wote wenye hekima katika ufalme wangu wameshindwa kunieleza maana yake.+ Lakini wewe unaweza kufanya hivyo, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.’
-