Isaya 47:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako. Na wasimame sasa na kukuokoa,Wale wanaoabudu mbingu,* wanaotazama nyota,+Wale wanaotoa ujuzi wakati wa miezi mipyaKuhusu mambo yatakayokupata. Danieli 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Danieli akamjibu mfalme: “Hakuna mwanamume yeyote mwenye hekima, wala mtu anayefanya mazingaombwe, wala kuhani yeyote mchawi, wala mnajimu yeyote anayeweza kukufunulia wewe mfalme siri unayoomba ifunuliwe.+ Danieli 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wanaume wote wenye hekima wa mfalme wakaja, lakini hawakuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme maana yake.+ Danieli 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa wanaume wenye hekima na watu wanaofanya mazingaombwe waliletwa mbele yangu ili wasome maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini wameshindwa kuniambia maana ya ujumbe huu.+
13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako. Na wasimame sasa na kukuokoa,Wale wanaoabudu mbingu,* wanaotazama nyota,+Wale wanaotoa ujuzi wakati wa miezi mipyaKuhusu mambo yatakayokupata.
27 Danieli akamjibu mfalme: “Hakuna mwanamume yeyote mwenye hekima, wala mtu anayefanya mazingaombwe, wala kuhani yeyote mchawi, wala mnajimu yeyote anayeweza kukufunulia wewe mfalme siri unayoomba ifunuliwe.+
8 Basi wanaume wote wenye hekima wa mfalme wakaja, lakini hawakuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme maana yake.+
15 Sasa wanaume wenye hekima na watu wanaofanya mazingaombwe waliletwa mbele yangu ili wasome maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini wameshindwa kuniambia maana ya ujumbe huu.+