Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako.

      Na wasimame sasa na kukuokoa,

      Wale wanaoabudu mbingu,* wanaotazama nyota,+

      Wale wanaotoa ujuzi wakati wa miezi mipya

      Kuhusu mambo yatakayokupata.

  • Danieli 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Danieli akamjibu mfalme: “Hakuna mwanamume yeyote mwenye hekima, wala mtu anayefanya mazingaombwe, wala kuhani yeyote mchawi, wala mnajimu yeyote anayeweza kukufunulia wewe mfalme siri unayoomba ifunuliwe.+

  • Danieli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wanaume wote wenye hekima wa mfalme wakaja, lakini hawakuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme maana yake.+

  • Danieli 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa wanaume wenye hekima na watu wanaofanya mazingaombwe waliletwa mbele yangu ili wasome maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini wameshindwa kuniambia maana ya ujumbe huu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki