Danieli 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Danieli akamjibu mfalme: “Hakuna mwanamume yeyote mwenye hekima, wala mtu anayefanya mazingaombwe, wala kuhani yeyote mchawi, wala mnajimu yeyote anayeweza kukufunulia wewe mfalme siri unayoomba ifunuliwe.+ Danieli 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wakati huo makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu+ wakaja mbele yangu. Nilipowasimulia ndoto hiyo, walishindwa kunieleza maana yake.+
27 Danieli akamjibu mfalme: “Hakuna mwanamume yeyote mwenye hekima, wala mtu anayefanya mazingaombwe, wala kuhani yeyote mchawi, wala mnajimu yeyote anayeweza kukufunulia wewe mfalme siri unayoomba ifunuliwe.+
7 “Wakati huo makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu+ wakaja mbele yangu. Nilipowasimulia ndoto hiyo, walishindwa kunieleza maana yake.+