28 Hata hivyo, kuna Mungu mbinguni ambaye ni Mfunuaji wa siri,+ naye amemjulisha Mfalme Nebukadneza mambo yatakayotokea katika siku za mwisho.+ Ndoto yako na maono ya kichwa chako kitandani mwako ndiyo haya:
8 Mwishowe Danieli akaingia mbele yangu, ambaye jina lake ni Belteshaza+ kulingana na jina la mungu wangu+ na ambaye ndani yake mna roho ya miungu mitakatifu;+ nami nikasema mbele yake ndoto ile: