Danieli 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Danieli akaja mbele yangu, anayeitwa pia Belteshaza,+ jina la mungu wangu,+ na ambaye ana roho ya miungu mitakatifu,+ nami nikamwambia ndoto hiyo: Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:8 dp 84-85 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:8 Mnara wa Mlinzi (Funzo),10/2016, uku. 14 Unabii wa Danieli, kur. 84-85
8 Mwishowe Danieli akaja mbele yangu, anayeitwa pia Belteshaza,+ jina la mungu wangu,+ na ambaye ana roho ya miungu mitakatifu,+ nami nikamwambia ndoto hiyo: