Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Hiyo ndiyo ndoto ambayo mimi, Mfalme Nebukadneza, niliota; sasa, Ee Belteshaza, nieleze maana ya ndoto hiyo, kwa maana wanaume wengine wote wenye hekima katika ufalme wangu wameshindwa kunieleza maana yake.+ Lakini wewe unaweza kufanya hivyo, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.’

  • Danieli 5:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna mwanamume fulani* katika ufalme wako aliye na roho ya miungu mitakatifu. Katika siku za baba yako, mwanamume huyo alithibitika kuwa na ujuzi na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu.+ Baba yako Mfalme Nebukadneza alimweka kuwa mkuu wa makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu;+ hivyo ndivyo alivyofanya baba yako, Ee mfalme. 12 Kwa maana Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza,+ alikuwa na roho isiyo ya kawaida na ujuzi na ufahamu wa kueleza maana ya ndoto, kufumbua mafumbo, na kutatua matatizo magumu.*+ Basi agiza Danieli aitwe, atakwambia maana ya maandishi haya.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki