-
Danieli 4:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Mwishowe Danieli akaja mbele yangu, anayeitwa pia Belteshaza,+ jina la mungu wangu,+ na ambaye ana roho ya miungu mitakatifu,+ nami nikamwambia ndoto hiyo:
9 “‘Ee Belteshaza mkuu wa makuhani wachawi,+ ninajua vema kwamba roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako,+ na hakuna siri yoyote iliyo ngumu sana kwako.+ Basi nieleze maono niliyoona katika ndoto yangu na maana yake.
-