17 Na Mungu wa kweli aliwapa vijana* hao wanne ujuzi na ufahamu wa kila aina ya maandishi na hekima; naye Danieli alipewa uwezo wa kuelewa maono na ndoto za kila aina.+
20 Katika kila jambo lililohitaji hekima na uelewaji ambalo mfalme aliwauliza, aliona kwamba walikuwa bora mara kumi kuliko makuhani wote wachawi na watu waliofanya mazingaombwe+ katika milki yake yote.