Danieli 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:20 dp 43-44 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:20 Unabii wa Danieli, kur. 43-44 Mnara wa Mlinzi,12/1/1988, uku. 11
20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote.