Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi mfalme akaagiza makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, walozi, na Wakaldayo* waitwe ili wamwambie mfalme ndoto zake. Kwa hiyo wakaja na kusimama mbele ya mfalme.+

  • Danieli 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wakati huo makuhani wachawi, watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu+ wakaja mbele yangu. Nilipowasimulia ndoto hiyo, walishindwa kunieleza maana yake.+

  • Danieli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wanaume wote wenye hekima wa mfalme wakaja, lakini hawakuweza kusoma maandishi hayo wala kumwambia mfalme maana yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki